×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Uharibifu wa chemichemi za msitu wa Mau | CHANZO CHA MTO MARA

20th October, 2018

Tangu enzi za jadi, msitu wa mau umekua na chemichemi zinazotoa maji yanayochangia uhai wa mito inayotumiwa kwa manufaa ya shughuli za binadamu na wanyama. Mojawapo wa mito hio ni mto Mara, ambao licha ya faida hizo, kuna uharibifu mkubwa wa maji safi yanayotoka kwenye chemichemi za msitu wa mau. Katika makala maalum ya chanzo cha mto mara ali manzu anatupa tathmini ya yanayozingira eneo hilo la mara. 

.
RELATED VIDEOS