.
16th October, 2018
Palishuhudiwa patashika katika bunge la kaunti ya kakamega hivi leo baada ya waakilishi wadi kumtimua afisini kwa nguvu spika wa bunge hilo morris buluma wakimshutumu kwa kuhusika katika ubathirifu wa fedha za kaunti hiyo zilizotengewa mradi wa ujenzi wa nyumba na mikopo ya magari. Waakilisha hao kisha walimuapisha spika mpya kuchukuwa nafasi ya buluma.