×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mkenya Don Bosco Gichana ameachiliwa huru nchini Tanzania

2nd October, 2018

Baada ya kuwa rumande nchini Tanzania kwa zaidi ya miaka mitano unusu bila kufunguliwa mashtaka hatimaye Mkenya Don Bosco Gichana ameachiliwa huru. Bosco ambaye alitiwa mbaroni mwaka wa 2013 kwa tuhuma za uhaulishaji wa fedha  kutoka kwa raia wa Marekani waliostaafu  aliachiliwa mapema hivi leo na akarejea nchini kupitia kivuko cha mpakani cha  Namanga. Kosa hilo hata hivyo lilimgharimu Bosco faini ya shilingi milioni kumi na tano. Kwenye kampeni za uchaguzi wa mwaka wa 2007 Gichana aligonga vichwa vya habari baada ya kumtunuku kiongozi wa ODM Raila Odinga gari jekundu aina ya hammer ambalo lilikuwa na umaarufu mkubwa wakati wa kampeni za kisiasa.

.
RELATED VIDEOS