×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mke wa mbunge wa Nakuru Town Bi Violet Nzisa amefikishwa Mahakamani

1st October, 2018

Mke wa mbunge wa Nakuru Town East David Gikaria Bi Violet Nzisa amefikishwa mbele ya mahakama ya Nakuru kujibu mashtaka ya kuidharau mahakamani. Hii inafuatia agizo la mahakama  la kumtaka arejee mahakamani baada ya kauchiliwa kwa dhamana ya shilingi laki moja.  Inaarifiwa kuw abi nzisa alipuuza agizo la mahakama la kumtaka alipe mwathiriwa wa ajali  zaidi ya shilingi laki saba mwaka uliopita  baada ya kumngonga kwa gari.

.
RELATED VIDEOS