Mbunge wa Msambweni Suleiman Dori alia katika mkutano wa hadhara
22nd May, 2016
Mbunge wa Msambweni Suleiman Dori amelia hadharani akirejelea mateso aliyopitia mamake wakati wa kumkuza na jinsi kijiji chake cha gazi kilivyotelekezwa na serikali. Ripota wetu tobias chanji anaarifu kutoka kusini mwa Pwani..