×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Vyongozi wa chama cha KANU wadokeza kuwa huenda KANU ikawania urais katika uchaguzi ujao

8th May, 2016

Viongozi wa chama cha KANU wakiongozwa na mwenyekiti Gideon Moi wamedokeza kuwa huenda KANU ikawania urais katika uchaguzi ujao. Aidha viongozi hao walisema kuwa chama cha Jubilee kimekuwa kikiitumia jamii ya wakalenjin kwa manufaa ya watu binafsi. Kadhalika wamesema kwamba hawaoni sababu ya kusubiri hadi mwaka 2022 kama Naibu Rais William Ruto anavyowataka watu kufanya. Viongozi wengine waliozungumza ni pamoja na maseneta john lonyangapuo na zipporah kittony waliosistiza kuwa kamwe hawatakivunjilia mbali chama cha KANU .
.
RELATED VIDEOS