Wanakandarasi wa jengo lililoporomoka Huruma hawatambiliwi na mamlaka ya ujenzi
2nd May, 2016
Mamlaka ya kitaifa ya ujenzi pamoja na taasisi za ujenzi kitaifa zimesema wanakandarasi wa jengo lililoporomoka katika kitongoji cha Huruma hawatambuliwi na taasisi hizo. Imebainika pia jengo hilo lilijengwa sehemu isiostahili kujengwa.