Chuo cha mafunzo ya utabibu cha Garissa kimefunguliwa tena
28th April, 2016
Chuo cha mafunzo ya utabibu cha Garissa kimefunguliwa tena zaidi ya mwaka moja tangu kufungwa. Garissa KMTC kilifungwa kutokana na ongezeko la mashambulizi ya ugaidi katika eneo hilo. Lakini sasa mratibu wa usalama kaskazini mashariki mahmud saleh anasema kwamba doria ya usalama ni thabiti wala hakuna tishio la taasisi yoyote kushambuliwa.Hamza Yussuf anaripoti kutoka Garissa