Mwanajeshi wa KDF amuuwa mpenzi wake kisha kujitoa uhai kufuatia mzozo wa kinyumbani Kitui
25th April, 2016
Mwanajeshi mmoja kutoka kambi ya wanajeshi ilioko Mariakani kaunti ya Kilifi amemuuwa mpenzi wake kisha kujitoa uhai katika kaunti ya Kitui. Kulingana na majirani, wawili hao walizozana baada ya matatizo ya kinyumbani wakidai kuwa binti huyo alikuwa na mpenzi mwengine.