Wakaazi waandamana kulalamikia kuuawa kwa afisa wa jeshi mstaafu Bungoma
20th April, 2016
Shughuli katika afisi za serikali za Sirisia katika kaunti ya Bungoma zilikwama mapema leo, wakati mamia ya waandamanaji walipofika kwa ghafla wakilalamikia kuuawa kwa afisa wa jeshi mstaafu ……waandamanaji hao waliwashutumu polisi kwa kuhusika na mauaji ya watu wengine watano.