Musalia Mudavadi ameishtumu serikali kwa kutozingatia ripoti wa TJRC
16th April, 2016
Kiongozi wa ANC Musalia Mudavadi ameishtumu serikali kwa kutozingatia mjadala wa ripoti wa TJRC. Mudavadi ametaja kuwa ripoti hiyo ilikuwa na umuhimu mkubwa sana kwa taifa la kenya, kuponya vidonda vya ghasia za baada ya uchaguzi wa mwaka 2007. Pia ameitaka serikali kuwajibika huku akionekana kutounga mkono maombi yaliyoandaliwa katika uwanja wa afraha katika kaunti ya nakuru.