×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwanawe mbunge wa Matuga Hasan Mwanyoha, Mafanikio Hassan Mwanyoha ,ahukumiwa kifo Kwale

12th April, 2016

Mwanawe mbunge wa Matuga Hasan Mwanyoha, Mafanikio Hassan Mwanyoha ,amehukumiwa kifo na mahakama ya Kwale . Mafanikio Hassan alihukumiwa pamoja na mwenzake ali hassan hussein kwa kosa la wizi wa mabavu baada ya kupatikana na hatia ya kumpora mtalii mmoja kwa jina Peter Schadwsky katika eneo la Diani .
.
RELATED VIDEOS