Mwanawe mbunge wa Matuga Hasan Mwanyoha, Mafanikio Hassan Mwanyoha ,ahukumiwa kifo Kwale
12th April, 2016
Mwanawe mbunge wa Matuga Hasan Mwanyoha, Mafanikio Hassan Mwanyoha ,amehukumiwa kifo na mahakama ya Kwale . Mafanikio Hassan alihukumiwa pamoja na mwenzake ali hassan hussein kwa kosa la wizi wa mabavu baada ya kupatikana na hatia ya kumpora mtalii mmoja kwa jina Peter Schadwsky katika eneo la Diani .