×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Jaji wa Tunoi aitisha muda zaidi wa kujiandaa vyema

7th April, 2016

Jaji Phillip Tunoi alipata afueni ya muda baada ya jopo linaomchunguza kukubali ombi la kuhairishwa kwa vikao vyake hadi jummanne kutokana na kukosekana kwa wakili Fred Ngatia aliyekuwa katika mahakama ya rufaa akimuakilisha kutokana na ile kesi ya kustaafu kwake. Kutokana na hilo Tunoi alitaka kesi ilioko mahakamani kusimamishwa hadi pale jopo litakapo kamilisha uchunguzi wake.
.
RELATED VIDEOS