Rais mstaafu Daniel arap Moi atoa wito kwa serikali kutopapia kuondoa mfumo wa elimu wa 8-4-4
3rd April, 2016
Rais Mstaafu Daniel Arap Moi ametoa wito kwa serikali kutopapia mambo katika juhudi za kubadilisha mfumo wa elimu kutoka 8-4-4 hadi mfumo mpya. Moi amesema haya alipohudhuria maombi maalum katika shule ya upili ya Sunshine kwa wanafunzi waliopita mtihani wa mwaka jana Saida Swaleh anaarifu