×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Suasua ya Ugaidi :Walioathirika wangali na kumbukumbu

31st March, 2016

Zimesalia siku mbili umalizike mwaka tangu shambulizi la kigaidi katika tawi la chuo kikuu cha Moi Mjini Garissa. Lakini baadhi ya walioathiriwa wangali na kumbukumbu kana kwamba ilikuwa jana. Mwanafunzi mmoja wa kike aliyeepuka maafa hayo aliamua kufunga ndoa na mwanajeshi baada ya mkasa huo. Je ilikuwa ni hatua ya kujihakikishia usalama? Lofty Matambo anasimulia kwenye makala maalum suasua ya ugaidi
.
RELATED VIDEOS