KTN Leo Wikendi Kamilifu Michezo Machi 5 2016
5th March, 2016
Timu ya kenya raga ya wachezaji saba ilianza mkondo wa las vegas katika msururu wa raga duniani kwa vishindo baada ya kushinda mechi zakwe mbili za kwanza kwe nye kundi A. Shujaa ilipata ushindi wa alama 24-21 dhidi ya urusi kabla ya kulaza ureno alama 38-0 kwenye mechi ya pili. Kenya itachuana na New Zealand saa nne na dakika 54 usiku wa leo.