Maajabu ya Uganga: Televisheni yakwama kichwani mwa mshukiwa wa wizi Teso
24th February, 2016
Je mtazamaji…..unaamini uwepo wa nguvu za ushirikina?....kama huamini basi itabidi uitazame kwa makini taarifa ya kipekee inayofuata ambapo mshukiwa mmoja katika kijiji cha Kaliwa kaunti ndogo ya Teso, alishuhudia siku zake arobaini kufika wakati aliponaswa kupitia nguvu za mganga mmoja…..mshukiwa huyo alishindwa kuiondoa televisheni aliyoiba kichwani akateseka nayo kwa muda wa saa nne. Ilibidi mganga aitwe kuiondoa kichwani