×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Maajabu ya Uganga: Televisheni yakwama kichwani mwa mshukiwa wa wizi Teso

24th February, 2016

Je mtazamaji…..unaamini uwepo wa nguvu za ushirikina?....kama huamini basi itabidi uitazame kwa makini taarifa ya kipekee inayofuata ambapo mshukiwa mmoja katika kijiji cha Kaliwa kaunti ndogo ya Teso, alishuhudia siku zake arobaini kufika wakati aliponaswa kupitia nguvu za mganga mmoja…..mshukiwa huyo alishindwa kuiondoa televisheni aliyoiba kichwani akateseka nayo kwa muda wa saa nne. Ilibidi mganga aitwe kuiondoa kichwani
.
RELATED VIDEOS