×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Baadhi ya wafungwa wa gereza la Voi wabatizwa

21st February, 2016

Zaidi ya wafungwa 25 wa gereza la Voi walibatizwa katika hafla ya kufana iliyoandaliwa na wachungaji waliowahubiria . Wafungwa hao ni wale waliokubali kuishi katika maadili ya kikristo . Usimamizi wa gereza hilo umekuwa ukishirikiana na viongozi wa makanisa waliowahubiria wafungwa hao.
.
RELATED VIDEOS