Baadhi ya wafungwa wa gereza la Voi wabatizwa
21st February, 2016
Zaidi ya wafungwa 25 wa gereza la Voi walibatizwa katika hafla ya kufana iliyoandaliwa na wachungaji waliowahubiria . Wafungwa hao ni wale waliokubali kuishi katika maadili ya kikristo . Usimamizi wa gereza hilo umekuwa ukishirikiana na viongozi wa makanisa waliowahubiria wafungwa hao.