Aliyekuwa waziri wa Mipango na Ugatuzi Anne Waiguru aondolewa mashtaka na tume ya EACC
7th February, 2016
Tume ya maadili na kupambana na ufisadi EACC imesema kuwa haina ushahidi kwa kumshtaki aliyekuwa waziri wa Mipango na Ugatuzi Anne Waiguru. Waiguru ambaye sasa anadaiwa kutaka kuwania wadhifa wa ugavana wa kaunti ya Nairobi, alikabiliwa na madai ya ubadhirifu wa fedha katika wizara ya ugatuzi pamoja na sakata iliyoikumba idara ya huduma kwa vijana, NYS. Mwanahabari Hussein Mohammed ametuandalia taarifa hiyo kwa kina