×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mugabe ataka Afrika ishirikishwe kwa baraza la usalama

30th January, 2016

Rais wa Zimbabwe ambaye pia ni mwenyekiti wa umoja wa Afrika ametoa wito kwa umoja wa mataifa kujumuisha mataifa ya afrika katika baraza la usalama la umoja wa mataifa. Mugabe amesema kuwa mataifa ya bara afrika yanafaa kujiondoa katika umoja wa mataifa iwapo yataendelea kutengwa na kukosa kuhusishwa katika maamuzi ya maana kwenye umoja huo. Mugabe amesema hayo akifungua kikao cha marais na viongozi wa mataifa wanachama wa umoja wa afrika mjini Addis Ababa Ethiopia.
.
RELATED VIDEOS