Mtu mmoja aaga dunia na wengine wane wanauguzwa hospitalini baada ya kula walichodhania kuwa asali
24th January, 2016
Mtu mmoja ameaga dunia leo asubuhi huku wengine wanne wakiuguzwa hospitalini katika kaunti ya Nyeri baada ya kuila bidhaa walioidhania kuwa asali ya nyuki waliyoipata katikati ya kipande cha mti. Na kama anavyoarifu mwanahabari wetu Lofty Matambo,wadudu walioitengeneza asali hiyo bado hawajaeleweka vyema.