×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Hali ya utulimvu yarejea Olposimoru Narok baada ya uhasama baina ya jamii za Wakipsigis na Wamaasai

28th December, 2015

Hali ya utulimvu imerejea katika eneo la Olposimoru kaunti ya Narok baada ya kuwepo kwa uhasama baina ya jamii za Wakipsigis na Wamaasai. Pande hizo mbili hatahivyo zimekubaliana kudumisha amani baada ya mikutano kufanywa na vyombo vya usalama. Kufikia sasa idadi ya wale walioathirika na kufurushwa makwao imeongezeka hadi 700 huku shirika la msalaba mwekundu likiwasaidia na misaada.
.
RELATED VIDEOS