Ufuo wa Jomo Kenyatta huko Mombasa umeanza kufanya bihashara usiku na mchana
27th December, 2015
Fukwe za kenyatta katika kaunti ya mombas sasa zimetundikiwa milingoti ya taa za barabarani na serikali ya kaunti ya mombasa katika vita dhidi ya utovu wa usalama. Awali fukwe hizo ambazo ni kivutio cha wakenya wengi katika siku za sikukuu,ziligubikwa na kiza na kuhatarisha usalama wa wageni wanaozuru. Taarifa ifuatayo inaangazia mabadiliko hayo yanayotarajiwa kuimarisha biashara na utalii.