Kundi la vijana 11 katika kaunti ya Murang'a la badilika kutoka ulevi na kujitosa katika ukulima
26th December, 2015
Ni siku kuu ya Krismasi na huenda kitoweo cha kuku unachokula ni kutokana na juhudi za kundi la vijana kumi na mmoja eneo la kabati kaunti ya muranga ambao wamebadilika kutoka walevi wa kupindukia na sasa wanaendeleza kilimo hasa ufugaji kuku na nguruwe. geff kirui na taarifa hiyo.