Mlipuko katika gari la abiria la Forward Travellers wajeruhi wasafiri
20th December, 2015
Ndege mmoja ya ufarnsa ilitua kwa ghafla katika uwanja wa kimataifa wa moi mjini mombasa ikitoka mauritius ikielekea ufaransa. Hii ni baada ya madai kuibuka kuwa kulikuwepo na kilipuzi ndani ya ndege hiyo. Baadhi ya abiria wanaendelea kuhojiwa kuhusu tukio hilo ambalo limeibua wasaiwasi mjini Mombasa.