Mganga wa Kwale atibu vichaa na urogi
20th December, 2015
Katika mkusanyiko wa habari za kaunti wekendi hii bomu lapatikana kanisani na kulazimu kusitishwa kwa ibada ili kuwaokoa waumini kaunti ya kirinyaga. Wakati huohuo vita dhidi ya ufisadi vinaendelezwa huku viongozi wa makanisani wakitoa kauli zao. Kwa habari zaidi ni kwenye mkusanyiko wa taarifa za mashinani.