Wasichana waliopata mimba za mapema Meru warejea shule kwa shirika la Jielimishe
5th December, 2015
Wasichana waliopata mimba za mapema na kukatiza masomo yao katika kaunti ya Meru wamepata matumaini baada ya kurejea shule chini ya ufadhili wa shirika la Jielimishe. Mashirima Kapombe, na maelezo zaidi.