Makurutu wa polisi washikwa kwa kuhusika na uuzaji wa bangi huko Nyeri
30th November, 2015
Kwa kawaida maafisa wa polisi wametwikwa jukumu la kuwalinda wananchi dhidi ya visa vya uhalifu lakini baadhi ya maafisa wa polisi wa kutoka eneo la Kiganjo katika kaunti ya Nyeri wameonekana kuenda kinyume na amri hiyo na badala yake kuhusika katika uuzaji wa bangi