Familia ya mgonjwa wa saratani aliyeuawa hospitali kuu ya Kenyatta inalilia haki
30th November, 2015
Familia ya Cosmas Mutunga, mgonjwa wa saratani ambaye alipatikana akiwa ameuawa katika wodi ya hospitali kuu ya Kenyatta inalilia haki. Huku wakisema kuwa inafadhaisha pakubwa iwapo mgonjwa anaweza kuuawa kinyama akiwa mikononi mwa wauguzi.