Milipuko ya zoezi la polisi latia Chuo Kikuu cha Strathmore wasiwasi
30th November, 2015
Hofu na taharuki ilitanda mapema hii leo katika chuo kikuu cha Strathmore hapa jijini Nairobi baada ya milio ya risasi na milipuko kusikika chuoni humo. Kama anavyoarifu Geoff Kirui wanafunzi kadhaa walijeruhiwa vibaya kwenye taharuki hiyo kutokana na kile kilichotajwa kama juhudi za kutaka kuyaokoa maisha yao huku shughuli nzima ikitajwa kama jaribio la kukabiliana na shambulizi la ugaidi