×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Milipuko ya zoezi la polisi latia Chuo Kikuu cha Strathmore wasiwasi

30th November, 2015

Hofu na taharuki ilitanda mapema hii leo katika chuo kikuu cha Strathmore hapa jijini Nairobi baada ya milio ya risasi na milipuko kusikika chuoni humo. Kama anavyoarifu Geoff Kirui wanafunzi kadhaa walijeruhiwa vibaya kwenye taharuki hiyo kutokana na kile kilichotajwa kama juhudi za kutaka kuyaokoa maisha yao huku shughuli nzima ikitajwa kama jaribio la kukabiliana na shambulizi la ugaidi
.
RELATED VIDEOS