Watalii wengi wafika Diani kugangliwa na mganga mshauri wa Pwani
20th November, 2015
- Jamaa mmoja anayedai kuwa mganga mashuhuri katika kaunti ya kwale analalamika kuwa mvua ya elnino imetatiza hali ya usafiri na hivyo kumfukuzia wateja... Bwana huyu anayedai kuwaganga watu wanaotafuta wapenzi kutoka maeneo mbali mbali duniani anaomba mvua hiyo ikome ili mavuno yake yarejelee hali yake ya kawaida.