×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watalii wengi wafika Diani kugangliwa na mganga mshauri wa Pwani

20th November, 2015

- Jamaa mmoja anayedai kuwa mganga mashuhuri katika kaunti ya kwale analalamika kuwa mvua ya elnino imetatiza hali ya usafiri na hivyo kumfukuzia wateja... Bwana huyu anayedai kuwaganga watu wanaotafuta wapenzi kutoka maeneo mbali mbali duniani anaomba mvua hiyo ikome ili mavuno yake yarejelee hali yake ya kawaida.
.
RELATED VIDEOS