Aliyekuwa mbunge wa eneo bunge la Bamachoge anawaomba Wakenya kumsaidia
14th October, 2015
Alikuwa mbunge wa eneo bunge la Bamachoge baina ya miaka ya 1998- 2002 na sasa hana tena la kujivunia. Jina lake likisalia katika kumbukumbu ya historia ya Kenya ila hali yake haiambatani na taji alilokuwa nalo. Hali yake iko taabani akiwa sasa anawaomba Wakenya kumsaidia, jambo linalosababisha Wakenya kujiuliza…ikiwa mtu aliyekuwa mbunge anauwezo wa kutafuta msaada kutoka kwa watu… Sembuze mamilioni ya Wakenya wanaozidi kuathirika na magonjwa kadha wa kadha. Saida Swaleh na taarifa hiyo