×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Seneta wa Elgeyo Marakwet Kipchumba Murkomen na Zipora Kering wamtetea Ann Waiguru

5th October, 2015

Seneta wa Elgeyo Marakwet Kipchumba Murkomen pamoja na Zipora Kering wameikosoa hatua ya kumtaka waziri wa ugatuzi Ann Waiguru kujiuzulu ama kubanduliwa uongozini kwa madai ya ufisadi katika afisi ya huduma kwa Vijana Wa Taifa NYS. Katika kauli zilizoonekana kumpinga mbunge wa Nandi Hills Alfred Keter anayeisukuma Agenda ya kumbandua Waiguru, Murkomen amesema kwamba mawaziri waliotupwa nje kwa madai ya ufisadi warudishwe afisini iwapo swala ni kwamba orodha ya tume ya kupambana na ufisadi EACC ilikuwa na dosari.
.
RELATED VIDEOS