Mwanamke ngangari: Teresa Cherono ni mhudumu katika hifadhi ya Maiti
28th September, 2015
Kwenye makala yetu ya kila Jumapili ya Mwanamke Ngangari tunamwangazia mwanamke mmoja kutoka kaunti ya Uasin Gishu ambaye anajishughulisha pakubwa na kazi ambayo wengi hudai kuwa mwiko katika jamii. Teresa Cherono ni mhudumu katika hifadhi ya Maiti. Elvis Kosgei anaarifu kwenye makala hayo.