Martha Karua amejitokeza kukashifu matamshi ya mbunge wa Gatundu Kusini ,Moses Kuria
21st September, 2015
Kinara wa chama cha NARC –K Martha Karua amejitokeza na kukashifu matamshi ya mbunge wa Gatundu Kusini ,Moses Kuria aliyedai kwamba Karua alihusika katika kutafuta mashahidi ghushi kwenye kesi ya jinai inayomkabili naibu rais William Ruto kule The Hague. Karua sasa ametishia kuwa atamshtaki Kuria mahakamani . Geff Kirui na maelezo zaidi.