Mbunge wa Gatundu Moses Kuria adaia kuna watu walio na njama za kumuangamiza kisiasa
18th August, 2015
Mbunge wa Gatundu Moses Kuria amefika kwa mara ya pili mbele ya kamati ya nidhamu katika chama cha TNA akikabiliwa na tuhuma za kutoa matamshi ya uchochezi.wakili wa kuria Danson Mungatana amekishutumu chama cha TNA huku akidai kuwa kuna watu walio na njama za kumuangamiza kisiasa mteja wake Moses Kuria.elvis kosgei na maelezo zaidi