Familia katika Kaunti ya Isiolo inaendelea kutafuata mpendwa wao
9th July, 2015
Familia moja katika kaunti ya Isiolo bado inaendelea kutafuata haki baada ya wiki tatu za kumtafuta mpendwa wao ambaye wanadai alichukuliwa na maafisa wa kws, kesi hiyo imefika mbele ya mahakama kuu hapa jijini Nairobi.