×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu kadhaa wajeruhiwa kwenye mkanyagano uliozuka katika Chuo cha Bandari

5th July, 2015

Watu kadhaa wamejeruhiwa kwenye mkanyagano uliozuka katika chuo cha bandari , mjini mombasa wakati wa shughuli ya usajili wa wafanyakazi bandarini. Mkanyagano huo unadaiwa kuanza wakati polisi walipojaribu kutawanya kundi la watu lililokuwa likisumakana kuingia kwenye chuo hicho kushiriki kwenye shughuli hiyo ya usajili. Iliwalazimu maafisa wa polisi kurusha vitoa machozi ili kutawanya umati uliokuwa umekusanyika hapo.
.
RELATED VIDEOS