Matarajio ya wakulima wengi hayajatimizwa katika maeneo ya Maghabiri ya Kenya
3rd July, 2015
Matarajio ya wengi yalikuwa kwamba, hatua ya Rais Uhuru Kenyatta kutoa hundi ya shilingi bilioni moja kuikwamua kampuni ya sukari ya mumias, ingebadilisha mtazamo wa wakulima wa miwa kuhusu mustakabali wa kampuni hiyo.