×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Chelsea lapata ushindi kwenye dimba la capital one

2nd March, 2015

Jose Mourinho alitwaa taji lake la kwanza baada ya kurejea kuongoza klabu ya Chelsea huku akilaza Tottenham Hotspurs mabao 2-0 hapo jana. Mabao ya nahodha wa timu hiyo John Terry na Diego Costa yalikuwa tosha kwa timu hii kutwaa ushindi huo wa dimba la capital one. Ushindi huo ulipokelewa kwa mahanjam na mashabiki wa Chelsea huku kocha wao Jose Mourinho akidokeza kwamba anajihisi kijana barubaru tena. Chelsea iko njiani kutwaa taji la ligi ya uingereza na lile la klabu bingwa ulaya.
.
RELATED VIDEOS