×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Wanafunzi wanane wafariki Kendu Bay baada ya ajali ya barabarani

19th January, 2015

Wanafunzi 4 ni miongoni mwa abiria 8 waliofariki kwenye ajali ya barabarani iliyohusisha matatu kwenye barabara kuu ya Katito inayoelekea Kendu bay. Wanafunzi 3 walikua wakirudi shule huku mmoja akiwa ni mwanagenzi wa mwaka wanne katika chuo kikuu cha Egerton. Abiria wengine 4 wakiwemo wanafunzi 2 walikimbizwa katika hospitali ya rufaa ya Jaramogi kupokea matibabu. Ali Manzu anaarifu zaidi.
.
RELATED VIDEOS