Wanafunzi wanane wafariki Kendu Bay baada ya ajali ya barabarani
19th January, 2015
Wanafunzi 4 ni miongoni mwa abiria 8 waliofariki kwenye ajali ya barabarani iliyohusisha matatu kwenye barabara kuu ya Katito inayoelekea Kendu bay. Wanafunzi 3 walikua wakirudi shule huku mmoja akiwa ni mwanagenzi wa mwaka wanne katika chuo kikuu cha Egerton. Abiria wengine 4 wakiwemo wanafunzi 2 walikimbizwa katika hospitali ya rufaa ya Jaramogi kupokea matibabu. Ali Manzu anaarifu zaidi.