×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mwekezaji wa kibinafsi avamia ardhi inayohifadhi torathi za kale za jamii ya waswahili

12th January, 2015

Ardhi inayohifadhi torathi za kale za jamii ya waswahili iliyoko eneo la Mtwapa mkabala na ufuo wa bahari sasa inakumbwa na madai ya kunyakuliwa. Maafisa wa makavazi ya Kenya tawi la Pwani wamepinga hatua ya mwekezaji wa kibinafsi kuvamia ardhi hiyo na kuanzisha ujenzi huku akikata miti iliyohifadhiwa kwa karne na karne bila idhini ya makavazi.
.
RELATED VIDEOS