Vazi la minisketi huibua hamasa na ukosoaji mkubwa katika jamii
14th November, 2014
Je mbona vazi la minisketi huibua hamasa na ukosoaji mkubwa katika jamii..? Jioni hii ktn leo inafungua habari zake kwa swali, hili baada ya wanafunzi wa kike katika vyuo vikuu kutisha kufanya maandamano jijini Nairobi iwapo kampuni ya mabasi ya Embassava haitawachukulia hatua za kisheria manamba waliomvua nguo fupi mwanamke mmoja jijini Nairobi.