×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Mfanyakazi wa sulubu kwenye duka moja kuu jijini auawa na lifti mbovu kazini

23rd October, 2014

Mtu mmoja amefariki papo hapo baada ya lifti aliyokuwemo ndani akipakia mizigo katika duka la Tuskys Nairobi kuanguka kutoka gorofa ya nne eneo la chini la jumba hilo maarufu kama basement. Kisa hicho kimeibua ukosoaji mkubwa huku waliokuwamo dukani wakilalamikia ukuu- kuu wa mashine zinazotumiwa na wafanyakazi kwenye baadhi ya maduka makuu jijini. Lofty Matambo na taarifa hiyo.
.
RELATED VIDEOS