Viongozi serikalini na wasomi kadha wajitokeleza kumsindikiza marehemu Prof. Ali Mazrui kule Mombasa
19th October, 2014
Mwili wa marehemu Profesa Ali Mazrui umezikwa katika maziara ya familia hiyo mjini Mombasa. Viongozi serikalini na wasomi tumbitumbi wakiwemo maprofesa kutoka vyuo vingine ulimwenguni walikua miongoni mwa waliohudhuria mazishi hayo huku vizazi vingalipo vikihimizwa kufuata nyayo za marehemu.