Mahakama ya Mombasa imeamua kuwa mshukiwa wa ugaidi Germaine Grant ana kesi ya kujibu
2nd October, 2014
Mahakama ya Mombasa imeamua kuwa mshukiwa wa ugaidi germaine grant ana kesi ya kujibu. Raia huyo wa uingereza anakabiliwa na tuhuma kumi zikiwamo udanganyifu akikusudia kupata uraia wa kenya. Hakimu anastacia ndun’gu wa mahakama ya shanzu amesema kwenye kauli za kiongozi wa mashtaka zipo tuhuma zenye uzito unathibitisha kwamba mshukiwa ana kesi ya kujibu.