SEX WORKERS DEMO: Makahaba wafanya maandamano Jijini Nairobi
11th September, 2014
Baadhi ya makahaba wamefanya maandamano kulalamikia kuawa kwa mmoja wao usiku wa kuamkia leo huko kayole. Kulingana na makahaba hao mara ya mwisho kwa mmoja wao kuonekana alikuwa na mmoja wa Maafisa wa Polisi na sasa wanaitaka afisi mamlaka ya kusimamia maswala ya polisi IPOA kuhakikisha kuwa sheria haki inatekelezwa dhidi ya mauji hayo.