×
× KTN KTN News KTN Morning Express KTN Leo Leo Mashinani The Big Story Checkpoint News Center E-Paper Lifestyle & Entertainment Nairobian Entertainment Eve Woman Travelog TV Stations KTN Home KTN News KTN Farmers TV Radio Stations Radio Maisha Spice FM Vybez Radio Enterprise VAS E-Learning Digger Classified Jobs Games Crosswords Sudoku The Standard Group Corporate Contact Us Rate Card Vacancies DCX O.M Portal Corporate Email RMS
Login
×
Show Swahili

Watu kadhaa watiwa nguvuni kwenye msako unaoendelea wa kufunga maabara gushi nchini

6th September, 2014

Bodi ya maabara nchini imefunga takriban kliniki na maabara 50 zinazoendeleza shughuli bila vibali, huku oparesheni hiyo ikiendelezwa katika mitaa mbalimbali hapa jijini. Katika oparesheni ya bodi hiyo maeneo ya Eastleigh na katikati mwa jiji, mojawapo ya kliniki iliyokuwa ikitoa huduma za afya kinyume na sheria ilifungwa huku mmiliki ambaye amejidai daktari ghushi akitupwa korokoroni. Kama anavyoafiru mwanahabri mohamed mahmoud, idadi kubwa ya wakenya walio na mapato madogo hulazimika kutafuta tiba kwa kliniki kama hizi.
.
RELATED VIDEOS