Ulimwengu unaadhimisha miaka 100 moja tangu Vita vya kwanza vya dunia
30th August, 2014
Ulimwengu mzima unaadhimisha miaka 100 moja tangu kuweko kwa Vita vya kwanza vya dunia vilivyofanyika miaka ya 1914 hadi 1918. Humu nchini maadhimisho hayo yaliandaliwa katika kaunti ya Taita Taveta na kuvutia zaidi. Hata hivyo wajukuu na vitukuu wa wanajeshi waliohsiriki vita hivyo wanadai kutotambuliwa na serikali ya uingereza na hata ya Jamhuri ya Kenya