Mwanafunzi afa maji baada ya kuhudhuria tamasha ya muziki huko Pwani
11th August, 2014
Huzuni imekumba tamasha ya muziki kwa wanafunzi inayoendelea huko mjini Mombasa baada ya mwanafunzi mmoja kutoka eneo la kitale kufa maji pale alipokuwa akiogelea baharini. Kutokana na kisa hiki kamati inayosimamia tamasha hiyo sasa imeonya wanafunzi dhidi ya kuogelea baharini na kuwatahadharisha dhidi ya kuzuru maeneo hatari.